Tuesday, 25 October 2016
TAFAKARI Jumatatu ya 30 ya Mwaka - C
TAFAKARI
Jumatatu, Oktoba 24, 2016,
Juma la 30 la Mwaka wa Kanisa
Ef 4:32 – 5:8;
Zab 1:1-4, 6;
Lk 13:10-17
HURUMA YA MUNGU!
Katika Injili ya Leo Yesu anamponya Mwanamke mmoja mgonjwa aliyekuwa na pepo kwa muda wa miaka kumi nane. Lakini cha kushangaza viongozi wa Sinagogi hawakufurahi, kwasababu wao walijishughulisha na Sabato na si yule Mwanamke aliyekuwa mgonjwa akiteseka. Ndio maana Yesu anawaita “Wanafiki” kwasababu walishindwa kutoa mahitaji ya watu, na badala yake kuwafundisha watu woga na kujenga watu wasiwasi mioyoni mwao kuhusu Mungu. Walishindwa kuonesha upendo na kufundisha huruma na msamaha wa Mungu Baba na mara nyingi walielekea kwenye adhabu, na kushika sheria kwa nguvu.
Katika hali hiyo hiyo, Paulo anawaambia Waefeso wawe wakarimu, na wenye huruma moyoni na msamaha kwa wengine kwasababu Mungu amewaonesha huruma yake kwa njia ya Mwanae Yesu Kristo. Anawaita wamuige Mungu kwa kumpenda Yesu Kristo kama njia pekee ya kumwendea Mungu, ni Yesu pekee aliyetupa akili kamili kuhusu Mungu. Hakuna aliyefahamu ufalme wa Mungu unafananaje, kabla ya Yesu kuja kutupa mifano mbali mbali. Leo Yesu anatualika leo tuwatembelee wagonjwa, wanaoteseka na kuwaonesha huruma ambayo Mungu ameionesha kwetu.
Sala: Bwana mpendwa, tusaidie tuweze kuhisi upendo wako na huruma yako ili tuweze kuwa mwanga wa kweli wa huruma na ukarimu wako kwa wanadamu wote.
https://play.google.com/store/apps/details?id=tk.shajara.shajara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NYIMBO ZA DOMINIKA YA 29 YA MWAKA- C WA KANISA.
Nyimbo za Jumapili ya 29 Mwaka C Karibu kwa ajili ya nyimbo za Jumapili ya 29 Mwaka "C" Mwanzo: Ee Bwana Nimekuita ...
-
Katika kuhakikisha kwamba uinjili shaji unakua tumekuletea nata zanyimbo za kikatoliki hizihapa Bofya hapa ...
-
Nyimbo za Jumapili ya 29 Mwaka C Karibu kwa ajili ya nyimbo za Jumapili ya 29 Mwaka "C" Mwanzo: Ee Bwana Nimekuita ...
-
Dominika ya 28 ya Mwaka SOMO LA 1 2 Fal 5:14-17 Naamani alishuka, akajichovya mara saba katika Y...
-
Dominika ya 30 ya Mwaka SOMO LA 1 Ybs 35:12-14,16-19 Kwa kuwa Bwana ndiye mhukumu wala hakijali cheo cha mtu. Hatamkubali ye yote juu...
-
Dominika 29 ya Mwaka SOMO LA 1 Kut 17:8-13 Wakati huo Waamaleki wakatokea, wakapigana na Israeli huko Ref...
Hakika, hali ya kiroho hudhibiti mambo ya kimwili.
ReplyDeleteMimi na mume wangu tulikuwa tumeoana kwa zaidi ya miaka 8 bila kupata mtoto. Tulitembelea hospitali tofauti, lakini kimatibabu sote tulikuwa sawa, lakini mimba haikutokea. Siku moja, nilikutana na mpenzi wangu wa zamani. Tulitumia muda pamoja, tukazungumza kuhusu yaliyopita, na hatimaye tukafanya ngono. Baadaye, nikapata mimba. Nilichanganyikiwa na sikujua la kufanya.
Nilijua mtoto hakuwa wa mume wangu, lakini kwa udadisi, nilifanya kipimo cha ubaba kwa siri bila idhini ya mume wangu, na matokeo yakathibitisha kwamba hakuwa baba mzazi. Hata hivyo, sikutaka kuharibu ndoa yangu au kuharibu furaha na furaha ambayo mtoto alileta kwa familia yetu, hasa mama mkwe wangu.
Rafiki yangu kisha akanipendekeza mtaalamu wa mizimu mwenye nguvu. Niliwasiliana naye na kumuelezea kila kitu, Alinipa maagizo, ambayo nilifuata, na akafanya ibada ambayo ilitakiwa kufanya kipimo cha ubaba kilingane na mume wangu na kufanya damu ilingane na yake. Mwanzoni, sikuamini kwa sababu ilisikika kuwa ya ajabu.
Miezi sita baada ya ibada, tulifanya mtihani mwingine wa ubaba, na kwa mshangao wangu, matokeo yalionyesha kuwa mtoto sasa alikuwa wa mume wangu.
Nataka kutumia fursa hii kumthamini mtaalamu wa mizimu.
Ninampendekeza. Ikiwa unahitaji ibada ili kupata mimba haraka.
.Ibada ya kumrudisha mwenzi wako wa zamani.
Ibada ya kurejesha urithi wako/kushinda bahati nasibu na zaidi.
Maelezo yake. wightmagicmaster@gmail.com
WhatsApp: +2349046229159